ubl
Mwingilianomatini katika tamthilia za Kiswahili: Mashetani na Kijiba cha Moyo
2016-03-30
[Electronic ed.]
prv
Universitätsbibliothek Leipzig
Universitätsbibliothek Leipzig, Leipzig
Institut für Afrikanistik
male
male
male
Tamthilia ya Kiswahili imedhihirisha, kwa njia moja au nyingine, uhusiano wa kimwingilianomatini. Makala haya yanadhamiria kuchunguza viwango na aina za mwingilianomatini baina ya tamthilia mbili za Kiswahili. Tamthilia hizi ni Mashetani (Hussein 1971) na Kijiba cha Moyo (Arege 2009). Tathmini hii inaongozwa na nadharia ya mwingilanomatini. Tumeteua na kuhakiki tamthilia hizi kwa misingi kwamba, kwa muda mrefu, Ebrahim Hussein ameaminika kuwa mmojawapo wa watunzi bora wa tamthilia ya Kiswahili katika eneo la Afrika Mashariki. Wahakiki wa fasihi wanaelekea kukubalia na kwamba Ebrahim Hussein ameathiri watunzi wengi wa baadaye wa tamthilia kimtindo, kimaudhui na usawiri wahusika. Lengo la makala haya ni kujaribu kuonesha jinsi tamthilia za Mashetani na Kijiba cha Moyo zinavyofanana kwa kuchunguza viwango vya mwingilianomatini baina ya tamthilia hizo kwa kurejelea, motifu, maudhui, matumizi ya lugha, na wahusika. Je, ni kwa kiwango gani mtunzi wa Kijiba cha Moyo ameathiriwa na mtunzi wa Mashetani? Je, amemnukuu, kudondoa au kumwiga mtangulizi wake kwa kiwango gani?
496
Swahili Literatur, Intertextualität, Drama, Theaterstück, Ostafrika
Swahili Literatur, Intertextualität, Drama, Ostafrika
Swahili literature, intertextuality, play, East Africa
urn:nbn:de:bsz:15-qucosa-199683
Moi University
edt
Moi University, Eldoret, Kenya
Universität Leipzig
edt
Universität Leipzig, Leipzig
Ambrose K.
Ngesa
aut
Enock
Matundura
aut
John
Kobia
aut
swa
2015
urn:nbn:de:bsz:15-qucosa-200833
042
qucosa:14615Swahili-Forum - 22.2015qucosa:11507urn:nbn:de:bsz:15-qucosa-91168
Swahili Forum 22 (2015), S. 42-71
born digital
Irene
irene.brunotti@uni-leipzig.de
article